TRCS staff, Volunteers, and Burundi Red cross representatives visits Kigogo Kati Ward at Kibangu river the flood prone area as part of peer to peer leaning programme Between TRCS and BRCS.
Ndugu Wanachama,
Katika kutimiza lengo la kupata wanachama 1milioni na baadae 3milioni ifikapo mwaka 2024, * Sisi ni taasisi ya Kitaifa na kutambua hilo Ofisi ya Rais wa TRCS imefanikiwa kupata udhamini wa nafasi 1,500 za vijana chini ya miaka 35 wa kuvoluntia kwenye chama chetu watakaolipwa 150,000/= nauli na posho kila mwezi na udhamini huu ni muhimu tukautumia vema kujipanga zaidi na kupata wanachama wapya*. Hii ina maana kwamba kwa wastani kila Wilaya nchi nzima ni zaidi ya Vijana 10. Na ikumbukwe TRCS haitohusika na kuwalipa vijana hao malipo hayo kila Mwezi.
TRCS Secretary General, Mr. Felician Mtahengerwa today opened the DP-IV Project evaluation meeting funded by Belgian Red Cross Flanders in the three regions Iringa, Songwe and Arusha in Tanzania. The project worth one billion and eight hundred million Tanzanian shillings which will last for two years.
The TRCS Secretary General took the opportunity to thank Belgian Red Cross for the greater support by sending the thanksgiving message to BRC through Ms. Leila Kibeti who is the Project Manager of Belgian Red Cross Flanders here in Tanzania.
- TRCS & IOM UN , DRR Mentorship programme in Iringa held from 26th -30th July 2021
- TRCS -Iringa yaadhimisha Siku ya Red Cross Duniani kwa kufanya usafi hospitali mpya ya wilaya Mufindi.
- TRCS PRESIDENT HON.DAVID M. KIHENZILE TOGETHER WITH TRCS NEC MEMBERS AND SENIOR EXECUTIVES VISIT TO THE PRIME MINISTER'S OFFICE IN DODOMA
- TRCS DODOMA: The president of Tanzania Red Cross Society visited the Ministry of Finance and Planning's Office in Dodoma.