News

TRCS visits Kigogo Kati Ward

TRCS staff, Volunteers, and Burundi Red cross representatives visits Kigogo Kati Ward at Kibangu river the flood prone area as part of peer to peer leaning programme Between TRCS and BRCS.

Taarifa kwa wanachama

Ndugu Wanachama,

Katika kutimiza lengo la kupata wanachama 1milioni na baadae 3milioni ifikapo mwaka 2024, * Sisi ni taasisi ya Kitaifa na kutambua hilo Ofisi ya Rais wa TRCS imefanikiwa kupata udhamini wa nafasi 1,500 za vijana chini ya miaka 35 wa kuvoluntia kwenye chama chetu watakaolipwa 150,000/= nauli na posho kila mwezi na udhamini huu ni muhimu tukautumia vema kujipanga zaidi na kupata wanachama wapya*. Hii ina maana kwamba kwa wastani kila Wilaya nchi nzima ni zaidi ya Vijana 10.  Na ikumbukwe TRCS haitohusika na kuwalipa vijana hao malipo hayo kila Mwezi.

TRCS IRINGA: DP IV PROJECT EVALUATION MEETING HELD IN IRINGA ,TANZANIA.PROJECT FUNDED BY BRC

TRCS Secretary General, Mr. Felician Mtahengerwa today opened the DP-IV Project evaluation meeting funded by Belgian Red Cross Flanders in the three regions Iringa, Songwe and Arusha in Tanzania. The project worth one billion and eight hundred million Tanzanian shillings which will last for two years.

The TRCS Secretary General took the opportunity to thank Belgian Red Cross for the greater support by sending the thanksgiving message to BRC through Ms. Leila Kibeti who is the Project Manager of Belgian Red Cross Flanders here in Tanzania.

 

logo
Mwai Kibaki Road, Plot No. 53, Block C, Mikocheni B, P.O. Box 1133, Dar es Salaam, Tanzania

Visitors Counter

Today290
Yesterday364
This week1793
This month3059
Total301670